iqna

IQNA

Shireen abu akleh
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Waandishi habari wapatao hamsini na watano wa Kipalestina wameuawa na utawala katili wa Israel tangu mwaka 2000 ikiwa ni katika njama za utawala huo wa kikoloni za kuzuia habari za jinai zake dhidi ya Wapalestina kuwafikia walimwengu.
Habari ID: 3476384    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Haki za Binadamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama ya Iran amesema, tuzo ya saba ya mkutano wa kila mwaka wa Haki za Binadamu za Kiislamu atatunukiwa mwandishi wa habari Shahidi Shireen Abu Akleh na Mandla Mandela mpigavita ubaguzi wa rangi wa Apathaidi katika kuwaunga mkono watu wa Palestina.
Habari ID: 3475573    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetenda jinai nyingine kwa kuushambulia kinyama mkusanyiko wa kuusindikiza mwili wa shahidi Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa kanali ya Televisheni ya al-Jazeera ya Qatar.
Habari ID: 3475248    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14

TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesema inaunga mkono kuhusishwa taasisi za kimataifa katika uchunguzi kuhusu kitendo cha jinai cha askari wa Israel cha kumuua shahidi mwandishi habari Mpalestina wa Kanali ya Al Jazeera Shireen Abu Akleh.
Habari ID: 3475247    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14